KAZI YA TOBA
• Inatupa uhalali wa kuelewana na Mungu.
• Inatupa uhalali wa kumshughulikia shetani ipasavyo.
• Inamwondolea haki shetani na kutuweka sisi katika nafasi nzuri ya ushindi.
• Inatuwezesha sisi kuweka na kuanzisha mawasiliano mazuri na Roho Mtakatifu.
• Hutuingiza katika neema ya Mungu
• Humpa Mungu kibali au nafasi kuanza kufanya kazi na sisi.
• Toba ikikamilika inaleta utimilifu wa utii wako. Isaya 57:15
• Baada ya kuomba Mungu anayajua yaliyotendeka kwenye mila zetu.
• Chukua jambo moja moja na kiri mbele za Mungu katika uovu uliofanywa na babu zetu.
• Walawi 26:40-42.
• Ebrania 7:9-10 Tulishiriki yale ambayo Babu zetu walifanya
• Damu ya Yesu ni malipo makamilifu yaliyofanyika
Ebrania 9:11-15
• Nenda kwa Imani na kuipeleka Damu ya Yesu
• Kitu ambacho kitakutoa hapo ni maombi.
Ebrania 12:22-24 Damu ya Yesu inanena hata leo.
Hesabu 35:33 Damu ya kulipwa kwa Damu.
• Kanusha, simama katika mambo ambayo Yesu aliyafanya pale Msalabani Kol: 2:14.
• Kila jambo ambalo lilikuwa linafanyika katika maisha yetu shetani alikuwa anaandika.
Aliandika katika anga, nyota, mwezi, jua na ardhi.
• MWanzo 1:26 Mungu alimkusudia mwanadamu atawale bahari na vitu vyote pia.
• Zaburi 19:1 Amka mapema asubuhi utangaze ukuu wa Mungu.
• Kanusha na kataa makubaliano yaliyofanywa na mababu zetu
• Yer:10-11 Mwambie wewe sio Mungu wewe ni pepo.
• Usiwe na haraka kwenye Madhabahu ya Bwana. Hii ni vita kiroho penye Madhabahu ya Bwana.
• Kama akishindwa kuchukua dhabihu kwenye Madhabahu ya Bwana, atakuja kwako kukuchafua wewe. Anajua huwezi tena kusimama kwenye Madhabahu.
• Anataka uchafuke usitoe kitu chochote kichafu katika Madhabahu ya Bwana.
• Kutoka 20:24 Madhabahu inayojengwa kwaajili ya Mungu, Mungu anakuja kukubarikia.
• Mahali ambapo panafaa kujenga Madhabahu ni mahali ambapo Mungu mwenyewe amepachagua.
• Mwanzo 22:1-14 Mahali ambapo Mungu amepachagua akutane na wewe ni mahali ambapo Mungu anapaangalia.
• Unapofika mahali pa kuabudia hutakiwa kumshirikisha mtu mwingine (au mahali pa matengenezo).
• Ibrahimu hakumshirikisha Sara alipokuwa anakwenda kumtoa Isaka Sadaka.
• Kuna mambo mengine Mungu anasema na wewe binafsi si vizuri kumshirikisha mtu mwingine. Unapoenda kwenye Madhabahu ya Mungu Yehova kuabudu unakwenda wewe mwenyewe binafsi
• Lazima uwe makini unapoenda kumshurikisha mtu shida zako, kila mtu ana Mungu wake.
Amosi 5:21:27 Mungu anachukia makutano yenu na nyimbo zenu.
• Ndani yao walikuwa na miungu mingine, waliokuwa wakiiabudu.
• Hata sadaka yao haiwezi kuleta matunda kama kuna Mungu mwingine ndani yake.
• Mungu alimkatalia Daudi asimjengee nyumba kwasababu mikono yake ilimwaga damu. Ndani ya Hekalu kuna Madhabahu.
• Isaya 61:1 Mwanadamu ndio hekalu la Mungu.
• 1Kor. 3:16-17 Na roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ndani ya mtu imo madhabahu ya Mungu.
• Mwanadamu kabla hajaokoka ndani yake shetani alishapanda kitu ndani yake mwanadamu.
• Kabla ya kuvunja hiyo Madhabahu mwanadamu hawezi kushinda dhambi, hasira, chuki n.k.
• Watu wengi wamefungwa na uongo n.k
• Katika hili huwezi kusonga mbele katika mambo ya Mungu
Isaya 52:2-6 Mungu anasema jikung’ute mavumbi kazi ya kujenga Madhabahu ni yako mwenyewe sio Mungu.
Amuzi 6:16-32 Gideoni anamjengea Mungu Madhabahu.
• Mungu anamwambia aende kwanza akabomoe Madhabahu ambayo baba yake aliijenga
• Ukitaka kumjengea Mungu Madhabahu ni lazima kwanza ubomoe Madhabahu ambayo ipo. Mstari 26 Ukamjengee Mungu Madhabahu kwa taratibu zake.
• Mungu anataka umjengee yeye madhabahu mahali anapotaka yeye.
Amosi 10:10-16 Ili Mungu huyu adhihirike itakupasa uiondoe Miungu mingine.
2Falme 10:17-27
• Mjengee Mungu madhabahu 1Falme 18:30-40 Elia amemjengea Mungu madhabahu.
• Inatupa uhalali wa kumshughulikia shetani ipasavyo.
• Inamwondolea haki shetani na kutuweka sisi katika nafasi nzuri ya ushindi.
• Inatuwezesha sisi kuweka na kuanzisha mawasiliano mazuri na Roho Mtakatifu.
• Hutuingiza katika neema ya Mungu
• Humpa Mungu kibali au nafasi kuanza kufanya kazi na sisi.
• Toba ikikamilika inaleta utimilifu wa utii wako. Isaya 57:15
• Baada ya kuomba Mungu anayajua yaliyotendeka kwenye mila zetu.
• Chukua jambo moja moja na kiri mbele za Mungu katika uovu uliofanywa na babu zetu.
• Walawi 26:40-42.
• Ebrania 7:9-10 Tulishiriki yale ambayo Babu zetu walifanya
• Damu ya Yesu ni malipo makamilifu yaliyofanyika
Ebrania 9:11-15
• Nenda kwa Imani na kuipeleka Damu ya Yesu
• Kitu ambacho kitakutoa hapo ni maombi.
Ebrania 12:22-24 Damu ya Yesu inanena hata leo.
Hesabu 35:33 Damu ya kulipwa kwa Damu.
• Kanusha, simama katika mambo ambayo Yesu aliyafanya pale Msalabani Kol: 2:14.
• Kila jambo ambalo lilikuwa linafanyika katika maisha yetu shetani alikuwa anaandika.
Aliandika katika anga, nyota, mwezi, jua na ardhi.
• MWanzo 1:26 Mungu alimkusudia mwanadamu atawale bahari na vitu vyote pia.
• Zaburi 19:1 Amka mapema asubuhi utangaze ukuu wa Mungu.
• Kanusha na kataa makubaliano yaliyofanywa na mababu zetu
• Yer:10-11 Mwambie wewe sio Mungu wewe ni pepo.
• Usiwe na haraka kwenye Madhabahu ya Bwana. Hii ni vita kiroho penye Madhabahu ya Bwana.
• Kama akishindwa kuchukua dhabihu kwenye Madhabahu ya Bwana, atakuja kwako kukuchafua wewe. Anajua huwezi tena kusimama kwenye Madhabahu.
• Anataka uchafuke usitoe kitu chochote kichafu katika Madhabahu ya Bwana.
• Kutoka 20:24 Madhabahu inayojengwa kwaajili ya Mungu, Mungu anakuja kukubarikia.
• Mahali ambapo panafaa kujenga Madhabahu ni mahali ambapo Mungu mwenyewe amepachagua.
• Mwanzo 22:1-14 Mahali ambapo Mungu amepachagua akutane na wewe ni mahali ambapo Mungu anapaangalia.
• Unapofika mahali pa kuabudia hutakiwa kumshirikisha mtu mwingine (au mahali pa matengenezo).
• Ibrahimu hakumshirikisha Sara alipokuwa anakwenda kumtoa Isaka Sadaka.
• Kuna mambo mengine Mungu anasema na wewe binafsi si vizuri kumshirikisha mtu mwingine. Unapoenda kwenye Madhabahu ya Mungu Yehova kuabudu unakwenda wewe mwenyewe binafsi
• Lazima uwe makini unapoenda kumshurikisha mtu shida zako, kila mtu ana Mungu wake.
Amosi 5:21:27 Mungu anachukia makutano yenu na nyimbo zenu.
• Ndani yao walikuwa na miungu mingine, waliokuwa wakiiabudu.
• Hata sadaka yao haiwezi kuleta matunda kama kuna Mungu mwingine ndani yake.
• Mungu alimkatalia Daudi asimjengee nyumba kwasababu mikono yake ilimwaga damu. Ndani ya Hekalu kuna Madhabahu.
• Isaya 61:1 Mwanadamu ndio hekalu la Mungu.
• 1Kor. 3:16-17 Na roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ndani ya mtu imo madhabahu ya Mungu.
• Mwanadamu kabla hajaokoka ndani yake shetani alishapanda kitu ndani yake mwanadamu.
• Kabla ya kuvunja hiyo Madhabahu mwanadamu hawezi kushinda dhambi, hasira, chuki n.k.
• Watu wengi wamefungwa na uongo n.k
• Katika hili huwezi kusonga mbele katika mambo ya Mungu
Isaya 52:2-6 Mungu anasema jikung’ute mavumbi kazi ya kujenga Madhabahu ni yako mwenyewe sio Mungu.
Amuzi 6:16-32 Gideoni anamjengea Mungu Madhabahu.
• Mungu anamwambia aende kwanza akabomoe Madhabahu ambayo baba yake aliijenga
• Ukitaka kumjengea Mungu Madhabahu ni lazima kwanza ubomoe Madhabahu ambayo ipo. Mstari 26 Ukamjengee Mungu Madhabahu kwa taratibu zake.
• Mungu anataka umjengee yeye madhabahu mahali anapotaka yeye.
Amosi 10:10-16 Ili Mungu huyu adhihirike itakupasa uiondoe Miungu mingine.
2Falme 10:17-27
• Mjengee Mungu madhabahu 1Falme 18:30-40 Elia amemjengea Mungu madhabahu.
0 Comments